iqna

IQNA

Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni
Mazungumzo ya Kidini
TEHRAN (IQNA) - Siku ya Jumamosi, Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoloji Duniani alikutana na Sheikh Mohammad Al-Issa, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni (MWL), katika ofisi yake katika Jumba la Saint Martha huko Vatican.
Habari ID: 3477062    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28